Duration 11:13

Aslay alivyoirudisha Yamoto Band Tigo Fiesta Grand Finale Dar

785 695 watched
0
4.2 K
Published 26 Nov 2017

Tigo Fiesta Grand Finale

Category

Show more

Comments - 234
  • @
    @rosemutisya20737 years ago Thanks guys 4 coming 2gether again, this is what hv being longing 4, thanx again. 4
  • @
    @smilereigner2 years ago Can this group come together once again pls we are missing your vibes and hit songs.
  • @
    @jasirimkombozi49267 years ago Hapo sasa m' me wafunga vinwa waliokuwa wana sema mnaugonvi, safi sana vijana kazi njema, always comment from usa north carolina. 10
  • @
    @stevekimz41652 years ago This was the only group that could challenge sauti sol back then. 1
  • @
    @ivanmboge8766 years ago Chibaaa hongera sana mkali daah mungu fundi ama kweli yake maajabu asly tupe hara. 6
  • @
    @syllasaimojakoyugi8224 years ago I miss yamoto band saaana in 2020 april these boys were amazing. 14
  • @
    @powertz89137 years ago Huyu chiba ana mguu mmoja lakini anacheza kama ana miguu 3. 32
  • @
    @kevinomondi47494 years ago Woow.!!!!???? Vitu zirudiswe kama kawaida we miss u in Kenya .. 2
  • @
    @piousjilondi88107 years ago Ktk fiesta iliyokuwa na amsha n ya mwanza sio hii watu. 7
  • @
    @bintspeech38685 years ago I wish kweli inarudi mm naipendaa ya moto band mnooo. 4
  • @
    @molimoyodony56037 years ago Ukisemea pembeni kwa kusikia kwa watu pasipo shuhudia mwenyewe utapata aibu! Walionielewa usemi huu piga like. 37
  • @
    @wemakalam32335 years ago Jamani mwenyeezi mungu mkubwa huyo dogo mguu mmoja lakini anacheza kweli. Jamani sounds imewaangusha kweli clouds. 3
  • @
    @alirashidy82354 years ago Big up sana wanaume washokaa nakukubali sana kama au sioo jammaangu mguu mmoja lakini song linabamba. 3
  • @
    @wolframkombo79177 years ago Aslay punguza pombe ukitaka kujua utamu na ugumu muulize mr nice. 8
  • @
    @sakinasayd73624 years ago Nalipenda sana hiili kundi kama n. A. Ww unalipenda gonga like. 4
  • @
    @meckykanga76407 years ago Dar mlipoa sana aise hata ladha hakuna hamkuwapa ushirikiano kbx! 7
  • @
    @joshlupao88783 years ago Wapi likes za beka flavor kenya twawapenda sana yamoto bendi. 4
  • @
    @ledasjosseph55587 years ago Nilichogundua dar wamezoe burudan ndo maana hamna shangwe kam mikoani. 23
  • @
    @shadyasaid20307 years ago Kwanini msirudie bend yenu mmepooza sana. 3
  • @
    @kelvinchaula22037 years ago Safi xanaaa aslay
    endelea kukimbiza.
    22
  • @
    @hawaynatimam9824 years ago Mbona mashabiki wamepooza, halafu aslay anaonekana kalewa. 1
  • @
    @mamanillan54174 years ago Asilay piga mzigo baba washabikii zako tupo nyumaa yakopiga keleleee kwaa yamoto band.
  • @
    @alfredimazwile82617 years ago Mwaka huu dar hamna kitu ndo fiesta iliyo poa kuliko mikoan. 3
  • @
    @lesahnassibu2257 years ago Darwalizoea wasanii form nigeria and europe wakat vyuma vimekaza.
  • @
    @halimamwangi18397 years ago Rudini yamoto muendelee kuimba pamoja kama awali. 3
  • @
    @asmabintikiwashatz93217 years ago Jaman sku moja fanyeni nyimbo wate tumewamss. 3
  • @
    @fatmachambotanzania93797 years ago Hongera zenu ma dogo munajua hadi basi.
  • @
    @antoniadudus7917last year Santhaa nwapenda sana nsamani mutoe ngoma jaman ntafurh nwapenda sana.
  • @
    @saidiasdd50434 years ago Jamani aslay ajitokeze rohozetu zirudie nafasiyake kwaizotaarifa. Tunaskia.
  • @
    @yvangalvan53797 years ago Clouds mmeshoot vizuri but mmebana sana sauti za mashabiki hadi show inaonekana imepooza kumbe ilikua poa tu. 18
  • @
    @kanzemange59112 years ago Raha jipe mwenyewe ak hii yamoto yawaka kweli hongereni sana.
  • @
    @aishanimeipendasanajuma1015 years ago Msitengane tena mtudishen na mboso kule kapooza kueni wte mnapendeza sana mkiwa wte.
  • @
    @saumsalim99664 years ago Fanyeni mrudi pamoja tumewamiss mkiwa pamoja jmn. 1
  • @
    @emanuelmjojo41017 years ago Kibaya unatumia mitindo wa aina moja tu kila nyimba zako ukiztasmin kama znafanana ukitaka kufika mbali lazma uwe unabadlika usikalili dogo.
  • @
    @noahgodwin41947 years ago Mic za upande wa mashabiki zilikuwa mbovuu ninii? Coz no sautii.
  • @
    @adamchapa1517 years ago Ebwana dogo rudini az 1 mtetemeshe rhaa.
  • @
    @mimaakenirram14056 years ago Watu shazi lakini amsha amna wapoa sana watu wa dar kwann.
  • @
    @mozejcs91607 years ago Naona mwaka huu mmezingua! Bora hata wangakuja mastar wa nje ubunifu f! Nmemiss sana show kali aliyofanyaga baster lym.
  • @
    @habarizauhakika93767 years ago Shangwe ilikuwepo kubwa sana sema walikuwa wamebana sauti za mashabiki. 1
  • @
    @shaurikiyanga60337 years ago Huyu dogo nasikia alikimbia yamoto akiwa na daftari la nyimbo.
  • @
    @getrudaphilip29294 years ago Mijitu ipo kmy hata haija furahia lkn mie nme mic yamoto bnd.
  • @
    @ameeraaljassim41385 years ago Mmmh tena asly umepinga kichupa halihiyo.
  • @
    @asmabintikiwa18265 years ago Mbosso hawez kua na nyinyi kile kikundi cha wachafu kinamfurisha kichwa.
  • @
    @mimaarich91037 years ago I love u ya moto banda plz rudn pmja#+974.