@aminathaabubakarmasoud5654 years agoLove you brother roma, you make me laugh. 2
@
@mushxwaggz52587 years agoInterview kali kabisa big up 2 roma-jonijoo. 32
@
@albertchuwa90557 years agoJonijoo we ndo mtangazaji wapresenter enbando kiivi. 5
@
@umydaddy46977 years agoNakupenda bure roma. Cool boy. Very chaming. 7
@
@athumantemba89926 years agoDah hii interview ya roma haijawahi kutokea, kali sana. 8
@
@knourisgalis9676 years agoDah! Nmeipenda hii interview jmn appreciate u ppo. 4
@
@emmanuelmdemu81337 years agoBrother umeua mzee jonijo now you now ni shidaah aiseh. 10
@
@mussa25557 years agoMwanangu naenjoy sn kutazama interviews zako bob! Unaumiza sn bob! Keep it up! 5
@
@eddeysabaly24787 years agoDah! Roma mungu akubariki we na family yako pamoja na kazi ya mikono yako kiukweli huwa napenda sana kazi zako kaka. 1
@
@frankcostantino9784 years agoJaman naombeni like zetu maan hii enter view ni mwanzo mwisho chap. 6
@
@lucymassawe28357 years agoHahahaha, anajibu hapohapo, sio wengine, the you know that, zinakua nyingi, big up roma. 27
@
@officialj.dollatz44605 years agoJonijooooo mmekutana na mwamba full raha yaan maswali bless majibu bless
@
@francolazaro86466 years agoDah hii sehem had nmerdia kuangalia mara ya tatu kwa sku tofaut. Imekaa poa. Viver roma. 4
@
@saidahj25437 years agoRoma umetisha. Ati utafufuka ukifanywaje. 9
@
@waukweelinikkon65557 years agoDahnidai soda, uko vizuri sana kwenye kazi yako. 7
@
@charlesesigira54185 years agoHot interview, hakuna muda wa kufikiria, bandua bandika, wewe ndiyo msanii siyo wengine. A unajua a. 5
@
@sadullahrajab777 years agoDah yani we mtangazaji wanaowapa tuzo we awakuoni nn dah unanikonga nyonyo ndau. 37
@
@justineelius49726 years agoNimependa sana hii interview ya roma maana ya hicho kiswahili ni noma sana. Jonijo tisha sana kaka.
@
@kihagazochangwe92526 years agoDaah ase. Jonijo so mtu mzuri. Hatafi sana.
@
@salamanyamoga40547 years agoYan roma nakupendaga bureee nice interview. 1
@
@muktartz73147 years agoMuchsema kwenye vipuri umenivunja mbavu. 3
@
@motrathefuture6 years agoAisee nimeipenda hiyo story ya mama ivan. Thats love man. 2
@
@jjvehjjlokol92726 years agoRoma upo vizuri kaka duu vizuri majibu yako pw ila nimeielewa ya 3: 5. 7
@
@orestafungafunga50053 years agoUyujamaa noma sana hii interview sichoki kuiangalia mzee.
@
@ramyramsey23387 years agoAse mwang first interview nacheka mwenyew mzee. 11
@
@EdghaMoses-js8lj5 months agoDah roma katishaaa sana. Huyu mwamba kweliii.
@
@timothmwakakusyu45637 years agoAsante sana roma uko vizuri sana ktk interview zako bt hata mimi situmiagi waret hata siku moja na siku nikiibeba naiweka kwny bag la mgongoni soo mtu anawezajua nimebeba daftari kumbe waret na kwny bag.
@
@neemamahusho61935 years agoUmeona eeh ngonga like hapa kama wampnda roma. 10
@
@amosirutibu12427 years agoSafi sana kazi nzur na ubunifu wa kutosha.
@
@saambovutv88646 years agoDuh, jinsi unavyouliza na majibuna enjoy kinoma noma mzazii.
@
@zakyahya46455 years agoBigup mzee baba maswali na majibu yote konk. 1
@
@emmanuelntemi57087 years agoDaah kwa mfano unachokaje sasa kutanzama na kusikiliza unachokifanya yaani umbunifu wa hal ya juu sio poa. 18
@
@BadBoy-od9bd6 years agoJonijo, upo mbali sana mzey, komaa sana coz shoo zako zakibabe hakukuti mtu bongo, maswali classic siondo pakutolea stress kibabe, alafu ujue nn, natumia jina lako mtaboy apa.
@
@revocatusmbangule87307 years agoHahahaa huyu jamaa ni ana akili sana asee hata majibu yake very logic. 17
@
@mushojey83897 years agoDah muulizwaji na mjibuji mpo fasta nimependa. 84
@
@yasintafanuel90805 years agoYaan jaman jon joo nakupenda mpakalaa hadi raha.
@
@mkaliwenuoriginalpleasesub92977 years agoYan roma unajieleza fresh adi rah yan dah. 15
@
@justinamarwatv84155 years agoNawapenda sana jonijo na roma. Maswali na majibu faster.
@
@brightmpembela51774 years agoJohn roma mm mshabiki wake sana ni msanii namba moja tanzania nishatafta sana nambaake sjapata kama kuna msaada naomba nisaidie nipate mawasiliano yake.
@
@petermmasi96075 years agoJon jo unatisha kwa maswal ya hapo kwa hapo htr sn na roma umetisha pia kwa kujib maswal fasta bila kuyumba yumba big up san kwenu wote wawili.
@
@marymungi21047 years agoUmetisha mzee baba nimecheka hatari ulivyo sema comment kumbe ww mwenzangu na mm maana na mm napenda sana uko poa kwenye kujibu penda sana.
@
@raphaelstephano88736 years agoUko vizur mzee baba roma nakuelewa sana.
@
@faridahwiliam12466 years agoMependa majibu na maswali fasta, good big up saana.
@
@sarahbenny55757 years agoWee jo ulisomea hayo maswali unanipa raaha. 49
@
@simuyangu13566 years agoRoma uko vizuri. Majibu yako hasa ya kipuli yameniacha hoi. Sasa nitafurahi if one day i meet with you kama dk 10.
@
@mariamkimwaga9437 years agoKhaa ila roma unanyoosha maneno atali. 16
@
@hopekacheranga20655 years agoRoma, mr blue and fid q are my best. I call them. 6
@
@micochazchaz63426 years agoInterview ya roma naipenda xana kuliko za wasanii wengine maan roma anaweza kujieleza siyo wakina ney wanaixhia aah! Aah!
@
@sakinandoile94397 years agoDuh labda nife mnivalishe nimependa hilo jibu ahsante roma.
@
@andrewdegera44137 years agoHaha salute jonijo sema roma kanikosha eti ukiona boy anaoga maranyingi per day wasiwasi mi naungana na wewe roma. 6
@
@rachelmkumbwa87104 years agoYaan roma he' s not only handsome but also tarented. 2
@
@jasminebaibe73556 years agoSafi sana roma unajiamini nakukubali unavyojibu maswali.
@
@jumanneuyuya42114 years agoRoma nakuelewa mwamba mpe salamu jonijoo.
Related videos for ROMA : MKE WANGU ANAAMSHA SANA:
you make me laugh. 2
now you now ni shidaah aiseh. 10
nice interview. 1