Duration 16:41

KIBONDE Alijua ATAKUFA Akaacha WOSIA, Baba, Mtoto Wasimulia

259 415 watched
0
942
Published 8 Mar 2019

KIBONDE Alijua ATAKUFA Akaacha WOSIA, Baba, Mtoto Wasimulia Global TV imefika nyumbani kwa Aliyekuwa mtangazaji wa kipindi cha Jahazi cha Clouds FM, Marehemu Ephraim Kibonde, maeneo ya Mbezi Beach jijini Dar na kuzungumza na Baba mzazi na mtoto wa kwanza wa marehemu Kibonde.... Baba mzazi wa Kibonde amesema ni kama mwanae alikiona kifo chake kwani mara ya mwisho alizungumza nae akiwa hospitali muda mfupi kabla ya mauti kumkuta na akamsisitiza sana Baba yake kuwaangalia wajukuu zake yaani watoto wake watatu ambao amewaacha... Aidha Mtoto wa kwanza wa Kibonde anayeitwa Ephraim naye ameongeza kuwa hatomsahau baba yake kwa jinsi ambavyo alikuwa mchapakazi na mara ya mwisho alipowasiliana nae alimwambia kuwa anajiandaa kurudi Dar... Mwili wa Kibonde umeingia Dar es Salaam jana ukitokea mkoani Mwanza ambapo ndipomauti yalipomkuta... Kibonde anatarajia kuzikwa keshi Jumamosi Machi 08, katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar... #RIPKIBONDE /watch/f-X1N-1 ... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho

Category

Show more

Comments - 325
  • @
    @manjumpoto1655 years ago Subhaanallah inasikitisha, inahuzunisha, inatisha wallah inshallah mungu awakuze vyema watoto, babu yao na familia kwa ujumla awape nguvu. Innaalillah wainnailayhi raajiun. 43
  • @
    @lilianestephanie78815 years ago My brother junior your very strong. God bless you in your life bro. Nakupenda. 27
  • @
    @masoudgonje91675 years ago Presenter, ungefanikiwa kuona walau japo demo version yangu moja hyo ya mwaka 2010 wakati nasotea chance ya hichounge tupa mic chini kwa kishindo kisha ukarudi kujisearch upya. Yaani kifupi nakupa 13% meaning, kuwafuata wafiwa na kuwahoji 7% kwenda kuwafariji wafiwa (kama alivyosema mzee sam) 5% kuwasha camera 1% wenda shule ipo lakini talanta ni no!. ...Expand 2
  • @
    @24habari5 years ago Mtoto wa kibonde ana kifua ni mvumilivu na jasiri, pia ni mwerevu.
    jitahidi sana kuwaangalia wadogo zako na angalia focus kama alivyokuasa mzee gundua hazina yako na itumie hiyo kujikwamua kimaisha. Kile alichokiacha baba kitumie kwa manufaa yako na wadogo zako kwakuwa hazina yako ilipo ndipo na moyo wako ulipo. Pole sana mdogo wangu. ...Expand
    14
  • @
    @dorcasroma67155 years ago May god strengthen you and the kids. Too sad. Rip kibonde.
  • @
    @mwanajumaomahundumla65045 years ago Mwanaume ni mwanaume tu itabaki kuwa hivyo mungu azidi kukupa nguvu mwanangu na akubariki wewe na wadogo zako amiin. 30
  • @
    @glad46535 years ago May god protect these orphans and their grandparents. So sad.
  • @
    @miriammbula20215 years ago Junior wewe ni mwanaume wa kipekee katika familia just be strong and set a role model to your younger sisters na mungu akupe uwezo na hasa katika kipindi hiki kigumu xana rip kibonde. 19
  • @
    @elminakalunga40305 years ago Ephraim junior una sauti kama baba yako ephraim senior! Be strong and take care of you siblings and grandparents. God give strength to the children. 6
  • @
    @emmanuelmwaka60705 years ago Amen baba mungu ndio kilakitu katika maisha yetu.
  • @
    @janethwandi97425 years ago Poleni sana familia ya e. Kibonde. Mwenyezi mungu awape nguvu, imani, na tumaini. Naomba msimuache mungu.
  • @
    @aminamgaya75115 years ago Pole ephraim baba angu mungu akupe nguvu inshaalah. 4
  • @
    @belezymashauri22745 years ago Junior. Ur super stronghuyu wa mbinguni tunayemuamini akupiganie siku zote katika maisha. 7
  • @
    @giovannygracious34345 years ago Ephraim aunt yangu! Ulitaman aamke alipolala umwambie sasa nimekuelewa baba! Pole aunt mungu yupo mpo salama. 1
  • @
    @dianafrank47405 years ago Pole baba ni mapenzi ya mungu na mungu akutie nguvu na umwamini mungu. 1
  • @
    @mwanzalimajmashimba5 years ago Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu, poleni sana tuko pamoja, tumuombee ndg kibonde mungu ampumzishe kwa amani.
  • @
    @sarahwanjala66015 years ago Baba pole sana maneno yako yanabusara sana baba yangu kweli inauma sana ila yote nimipango ya mungu tupo pamoja nawe baba katika musiba huu.
  • @
    @sarahrajabu98125 years ago Pole sana mwanangu mwenyezi mungu awape moyo wa subra na wadogo zako mwanaume ni mwanaume mwenyezi mungu awakuze salama inshallah.
  • @
    @noronhacompanylimited53705 years ago Pole sana ephraim, kijana mwenzangu umenionesha ujasiri wa hali ya juu!
  • @
    @rehemamsuya22635 years ago Pole baba sisi wote ni wa mungu na kwake tutarejea, ila mtangazaji unaboa sana na maswali, baba nimejifunza kwako.
  • @
    @imaniamani76715 years ago Pole mdogo wangu mungu akupe nguvu na faraja.
  • @
    @maryndosi22805 years ago Polee sana babaangu mungu awatie nguvu.
  • @
    @gracemanase20135 years ago Poleni sana wana familia, hakika baba umeongea neno la msingi kabisa, duniani tunapita tu tunahitji kufanya tathimin ya maisha kati yetu na mungu maana hatujui . ...Expand
  • @
    @kokujuko47065 years ago Polen wafiwa mungu awajalie hekima ma upendo wapumzike kwa amani.
  • @
    @emmanuelbonifas35175 years ago Mungu aendelee kuwa faraja yenu poleni sana na msichoke kuwaombea wazazi wenu dua kwa mwenyz mungu.
  • @
    @shiraann6325 years ago Poleni sana mola ailaze roho yake pema peponi na awape nguvu kipindi hiki kigumu; mungu alitoa na ametwaa.
  • @
    @reginawitacha79215 years ago Poleni familia kwa hii stuation inauma sana kwakwel.
  • @
    @furahandelwa79005 years ago Mungu akusaidie mtt uongoze ndugu zako maana umeshakuwa sasa. 11
  • @
    @arafahassan83915 years ago Mtangazaji ovyo, pole mdogo wangu, mungu awatie nguvu. R i p kibonde. 1
  • @
    @charlittotarimo5195 years ago Duuh kwelii huyu ni ephraim kibonde jr. 8
  • @
    @khadijanyoni24575 years ago Pole junior efrahim mungu awatie nguvu wewe na wadogo zako.
  • @
    @oliviamboma13475 years ago Ni kumshukuru mungu kwa kila jambo napenda sana ulivyo strong maan najua wewe ndo wa kuwakumbatia wadogo zako mungu akupe nguvu zaidi ya kustahimili mapito yote may he rest in peace amen. 1
  • @
    @kaundimemwinyi66445 years ago Poleni sana watoto wangu mmungu atawalinda na kuwakuza pole sana baba mmungu kapenda.
  • @
    @alisaalis92185 years ago Kwa kweli mungu alituficha siku na saa, poleni sana wanafamilia. 1
  • @
    @maryamjey63405 years ago Poleni sana ndugu zetu wa tz. Allah awarehemu waja wake.
  • @
    @faridaabdallah76205 years ago Polesana kijana jikaze mungu atakubariki.
  • @
    @roidatadey86565 years ago Poleni sana watoto wa kibonde na familia kiujumla.
  • @
    @ironefacemsovela45045 years ago Mtangazaji bora ukalime maswali gn ayo? 6
  • @
    @geegasper52245 years ago Jamn ata kama ni utandawaz now days bt this is toounaulizaje wafiwa maswal kma haya tena wakat msiba bado kbsa jmn dah. That' s not good. 5
  • @
    @mwanatz59805 years ago Poleni sana baba na watoto mungu awape nguvu kwenye kipindi hichi amiin.
  • @
    @secylovenessadaa42455 years ago Pole familia mungu awatie nguvu kipindi hiki kigumu.
  • @
    @sakinamubaraka12465 years ago Baba jasiri umejikaza kiume mashaa allah.
  • @
    @nelsonbernadtz37375 years ago Pole kwa family ya kibonde na kwahuyu mtangazaji wa global.
  • @
    @rahmahairun45645 years ago Mungu ailaze roho yake mahala pema pepon.
  • @
    @merrynancesimoni27285 years ago Yupo strong kama baba yake jamani ila anaumia ndani ya moyo pole brother mungu awatie nguvu kwakweli. 1
  • @
    @asteriamkumbo91985 years ago Mungu awatie nguvu katika majonzi mlio nayo.
  • @
    @neemamasimba29815 years ago Junior ameniliza kwa kweli da, halafu unanjuwa kujieleza nikikuangalia nalia tu. Be strong boy.
  • @
    @stellahmutheu92495 years ago Babu ana maneno mazuri nadhani atakuwa mmoja wa mashahidi wa yehovah: mungu azidi kuwafariji.
  • @
    @elizabethchuwa80565 years ago Mwenyezi mungu awatie ngv ya kuweza kulibeba hili, na ampe pumziko la milele kaka yt ameen.
  • @
    @shamsahassan25865 years ago Maahallah kijana una moyo wakiume mungu akupe nguvu ulee wadogo zako inshallah. 7
  • @
    @mrishomindu42315 years ago Pole sana mtangazaji taaluma imekuacha mbali mno mkuu ikimbize tena labda utaifikia. R. I. P kibonde.
  • @
    @josephinekessy41345 years ago Mungu awape nguvu wafiwa, haswa watoto.
  • @
    @benedictaman9365 years ago Mtangazaji nafikir huna taaluma vizuri ww, haiwezekani mfiwa una mhoji zaidi ya dakika kumi halafu maswali ya hovyo tu. 73
  • @
    @heriethkisese14075 years ago Mtangazaji rudi shule kasome tena umenikera sana. 16
  • @
    @8019bm5 years ago Pole kijana.
    mtangazaji jamani.
    eti utamkumbuka baba ako kwa lipi? Gani haya. Waacheni wafiwa watulie, subirini kutangaza ratiba ya msiba n. K.
    1
  • @
    @tulaveyamsuva51295 years ago Ni pengo kubwa sana katika jamii poleni sana wana familia wa kibonde.
  • @
    @nusaibahassan58425 years ago Duh so sad wallah allah awape nguvu kwa wakati huu mgumu inshaallaah.
  • @
    @chistinawallasch28275 years ago Pole sana kijana, you have to be strong men.
  • @
    @kadogooinn91515 years ago Pole sana bro, naamini baadaye unaweza kuwa kioo cha jamii baada ya kupitia magumuatakusaidia. 1
  • @
    @sakinaomar3015 years ago Inallilah wainaillah rajiur poleni sana wafiwa.
  • @
    @mohammedabdallah63905 years ago Daah. Mtangazaji rudi shule yaani hujui mpka umepitiliza.
  • @
    @nancynanjala57045 years ago Pole sana mdogo wangu take heart and take care to your young sisters.
  • @
    @gracemwanjabala80735 years ago Hi familia mungu ariiumbaa wanamaumiv makrii lakin huwez kuyatambua kwa kuwatazam usonii maumivu yaoo.
  • @
    @evajoymanyama22945 years ago Poleni sana aisee inaumaa kifo chake kinafanana na chababa angu ivyo yanii mtu anaenda msibani ukouko nae anaumwa nakupotezaa maisha kifo chake kimeniuma sanaa kimetonesha kidonda kilichokua kinapoa. 3
  • @
    @suziecutecute62745 years ago Mungu awape nguvu kipindi hiki na milele.
  • @
    @nasrahcute42785 years ago Najua unapitia wkt mgumu japokuwa umejikaza, dah polen sana atimaye mmebaki yatima jmni kifo hichi, 1
  • @
    @madinanoor25055 years ago Dogo yiko powa sana pole kwa kupoteza mzazi wako mungu awatiye nguvu kwahici kipindi kigumu.
  • @
    @tumajuma69175 years ago Kijana upo strong sana, mtangazaji boyaa sana mtu amefiwa unamhoji mda mrefu tena maswali yakijinga.
  • @
    @samsondecoman9835 years ago Uyu chali nimafya kinoma ase, pole sana msela angu. 1
  • @
    @mbarikiwambarikiwa39885 years ago Jamani poleni sana, mungu ndo awe faraja yenu kuu.
  • @
    @machasofficialsite62215 years ago Dogo una akili sana unajua kuzungumza licha ya matatizo, ila mungu mwema. 24
  • @
    @marrylema48285 years ago Jamani wamemcndikiza ruge kwa ndege na yeye anarudishwa na ndege akiwa haongei inaumiza kweli kifo hakina huruma. 8
  • @
    @waukweelinikkon65555 years ago Jamani mungu awape nguvu sana, mungu awafariji hakika, awafute machozi.
  • @
    @tedmzeru34305 years ago Watangazaji mnakera mnoo mambo izi za kuhoji wafiwa walahi huwa siwaelewagi kbx. 4
  • @
    @anithakalist61945 years ago Pole sana mwanangu mungu akutie nguvu dunia tu wasafiri so sad rip kibonde.
  • @
    @madamboss3485 years ago Watangazaji wa tz mnaboo sana mafuguli rekebisha hao watangazaji washenzi sana.