Duration 4:55

HUYU NDIYE SWAHABA PEKEE ALIYE HAI.

422 473 watched
0
2.5 K
Published 5 Feb 2020

Huu ni mti uliopo katikati ya jangwa nchini Jordan katika mji wa Busra. Ni mti wenye historia kubwa kwa kuwa ndio shehemu ya kwanza kutambulika utume wa Mohammad ( S.A.W ) na umedumu kwa miaka zaidi ya 1500 unaitwa SWAHABA ALIYE HAI. Serikali ya Jordan imeujengea uzio ili kuulinda.

Category

Show more

Comments - 283