Duration 12:8

Magufuli: Marais wa EAC wamefanya kosa sana kunichagua mwenyekiti

331 888 watched
0
1.5 K
Published 2 Mar 2016

Rais Magufuli baada ya kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa Afrika Mashariki, ameiambia sekretarieti ya Afrika Mashariki kuwa marais wa jumuiya wamefanya kosa kubwa sana kumchagua kwani atawafatilia na kuwataka kubana matumizi kwani nchi zote ni maskini.

Category

Show more

Comments - 242