Boniface Mwamposa (Bulldozer) ameongea na watanzania kufuatia kifo cha Mhe. Dr. John Pombe Magufuli.
#ariseandshinetanzania #2021mwakawaimani #mwamposalive
@vasudepika45213 years agoAll in all god is in control. Let god stand for us tanzanians. 1
@
@rosemarytillya9243 years agoTuombe mungu atupe faraja, utulivu, amani upendo kushikamana adui asipate nafasi kwa jina la yesu apumzike kwa amani. 7
@
@nuwairapatrick80563 years agoBarikiwa sana mtumishi mwenyez mungu akupe afya na maisha marefu najua ni kias gan unaumia kwa jinsi mlivokuwa ni pgo kubwa sana kwetu pumzika kwa aman baba. 5
@
@capitalism21283 years agoIt's so sad for not only Tz but the whole of but there is a reason why is left us it's because he had done his work on the world and God is taken him to use him as his angel, Magufuri was a God given person, he is gone when we still needed him here. RIP Dr Magufuri .....Expand1
@
@mpockalberto78413 years agoAmeen baba, tunaamini mkono wa mungu uko nasi. 7
@
@kelvinfesto3 years agoAmen mungu ni mungu tunamwamini mungu katika hiki kipind kigumu. 3
@
@devotharobertkayombo66603 years agoMungu akubariki kwa maneno mazuri baba na mtumishi wa mungu.
@
@juliethcosmas10753 years agoMungu wetu wa mbingun baba wa rehema tunaomba umpokee mikononi mwako mtoto wako na umpumzishe mahali salama amen. 3
@
@greisontovagoze29333 years agoHatuna lakusema zaid nikuendlea kumuombea rais wetu mungu amupkee hukombingn kwaupendo zaid amen. 2
@
@suzanamabula20993 years agoAsante mtumishi wa mungu kwa ujumbe wako mzuri. 2
@
@miriamnyanda88063 years agoUbarikiwe mtumishi wa mungu maneno yako yametutia moyo sana kwan kipindi hiki kwetu ni kigumu sana kwa kweli. 1
@
@richardjohn40583 years agoMwenyezi mungu atupe uvumilivu kwa kipindi iki kigumu na atupe ujasiri nasalama baba mwendo umemaliza baba naamin umamaliza mwendo wako salama baba. 2
@
@marthamlwafu7293 years agoAsante baba kwa kututia moyo, mungu wetu ni mwaminifu atatutetea. 2
@
@mwajumakitano8423 years agoAmina, amina ewe mungu baba mpokee mwanao kwa amani, naiombea family ndugu jamaa na marafiki kushikamana kuwa kitu kimoja wawe na uwezo na faraja nipigo kubwa sana, mungu tubarikie watanzania. ...Expand1
@
@epifaniamilinga28483 years agoAsante mtumishi, kwa kututia nguvu, pia tunamshukuru mungu, ameacha msingi imara.
@
@neyreen5663 years agoEe mungu mwingi wa rehema mpokee mja wako mpumzishe kwa amani mbele yako nyuma yetu. 11
@
@magrethndambo76843 years agoAmen mtume mungu akubariki asante kwa kutupa maneno yenye nguvu.
@
@atanito13273 years agoMtume nisaidie mtihani nilionao leo kwa jina la yesu amen.
@
@ericakimande15893 years agoMungu amuweke pahala pema peponi apumzike kwa amani.
@
@cosmasnape27023 years agoMungu amlaze pema peponi baba etu apumzike salama amina. 2
@
@marymary83133 years agoMimi ni mkenya pole sana watanzania tulikua tunampenda maghufuli kwa kasi yake nzuri lakini mungu amempenda kutuliko, rip mzee na sisi tuko nyuma yako. ...Expand1
@
@irenealphonse27343 years agoAmen mtumishi tuko pamoja alikua baba muzuri na sisi wa congomani tuli mpenda sana basi mungu ami fariji kweli. 1
@
@hplatnumz56903 years agoAmen mungu akulaze pema peponi mueshimiwa.
@
@makenemakene4173 years agoTumeumia sana walitakiwa kutwambia tumuombee mungu amponye. 2
@
@kellyngogo33193 years agoKweli mtume mioyo yetu haikuwa tayari kupokea hili. Asante mtume kweli tukubali ni kazi ya mungu. 7
@
@ariceandshinelivearse53593 years agoMungu naomba bariki tanzania yete mlezi wetu mwamposa mungu akubariki. 5
@
@reginarichard26543 years agoMungu ailaze roho ya rais wetu mahala pema peponi na damu ya yesu imfunike.
@
@getrudajacob6373 years agoMungu ametoa na mungu ametwa jina la bwana lihimidiwe.
@
@labnalast75513 years agoAmina, mwenyezi mungu amwangazie mamwanga wa milele daima. 3
@
@elizabethmaiko90393 years agoNuru moamed tumuombe mungu atufaliji katika kipindiiki kigumu.
@
@omegazinthalezi91233 years agoPumzika kwa aman rais wetu mpendwa john pombe magufuli. 6
@
@maryaidan77453 years agoMungu atutie nguvu watanzania tuwe wamoja tuzidishe maombi tumpate alie kama yeye jamn. 1
@
@veronicamokiwa12543 years agoHatuna la kufanya tunapaswa kusema mungu asante. 1
@
@roseflowerkyara85513 years agoAmen doctor mtume kwa kutufariji watanzania.
@
@alphonsinesingirankabo62743 years agoBaba mukufuli kilakitu alifanya alitumikia mungu pumuzika kwa furaha baba kifo chako kilishitula duniya nzima. 2
@
@jamilaezekiel61743 years agoPolen sana mungu wa mbinguni awainue ktk kipindi hiki kigumu.
@
@arthurmwabulambo12013 years agoAmina mtumishi. Umenena vyema juu ya mtumishi wa mungu raisi dr john joseph magufuri. Kwa kazi kubwa na nzuri kwa taifa hili na mengine aliyofanya neema. ...Expand3
@
@deborahelias39313 years agoEeeh mung baba nakuomba san cloudy dugu awe wang daima na milele ktk jina la yesu kristo amen.
@
@olivaluvanda45243 years agoAmina mtumishi apumzike kwa amani mbele yetu nyuma yake.
@
@deborahelias39313 years agoNimepokea uponyaji ktk jina la yesu kristo amen.
@
@samkalinatours65403 years agoPumzika kwa amani rais wetu tutakukumbuka daima. 1
@
@barakamakori34753 years agoMungu iraze roho ya rais magufuri mahari pemasana nimeumia sana.
@
@janethnkembo58083 years agoAmina mtume. Kweli tumehuzunika sana. Tumeumia kweli. 1
@
@nasraalfan63973 years agoAhsante mtume, mungu aturehemu kwa kipindi hiki kigumu. 2
@
@deborahelias39313 years agoEeeh mung baba timiza haja ya moyo wang nimpte nimpndae cloudy dugu ktk jina la yesu kristo amen.
@
@gloriamaharindo313 years agoNi kweli, acha mungu aitwe mungu, poleni watanzania wenzangu, ndani na nje ya nchi.
@
@lucasmogoile70973 years agoSiku zetu ni ziko kwake mungu aliye mkuu.
@
@agripinaligelele93673 years agoKweli kabisa mungu ndie mpangaji wa yote tumwachie mungu.
Related videos for KAULI YA MTUME MWAMPOSA KWA WATANZANIA.:
naiombea family ndugu jamaa na marafiki kushikamana kuwa kitu kimoja wawe na uwezo na faraja nipigo kubwa sana, mungu tubarikie watanzania. ...Expand 1
john pombe magufuli. 6